Header Ads Widget

BREAKINGNEWS:AJALI YAUA WATU 19 IRINGA

 


NA RAYMOND MINJA MATUKIO DAIMAAPP MAFINGA

Jumla ya watu 19 wamefariki dunia na wengine  8 kujeruhiwa katika ajari iliyohusisha Lori aina ya scania na coster iliyotoka  eneo la changarawe  wilaya ya Mufindi mkoani Iringa alfajili ya leo.

Ajali hiyo imehusisha gari aina ya Scania yenye namba za Usajiri T 736 AAE na Coaster yenye namba za usajiri T542 DQV

Mganga mfawidhi wa hospitali ya mafinga  Dr. Victor Msafiri alisema kuwa ajali hiyo iliyotokea imesababisha vifo vya watu 19 na majeruhi ambao bado wanaendelea kupata matibabu katika hospital hiyo.


Alisema kuwa Majeruhi wanaendelea kupata matibabu na miilii ya marehemu baadhi imeshatambulika  na wengine wanaendelea kutambuliwa na jeshinla polisi 


Kwa upande wake Mkurugenzi  wa mafinga mjii Bi, Happiness Laizer amewatembelea majeruhi na kuwapa pole huku  akiwaomba madaktari kuwapa hudumu stahiki ili Hali zao ziweze kutengemaaa

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI