Header Ads Widget

RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE AKUTANA NA RAIS NYUSI

 





Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akutana na kuzungumza na Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji mjini Pemba, Msumbiji.


Dkt Kikwete nchini Msumbji kwa shughuli za Allience for a Green Revolution in Africa (AGRA), shirika linalojihusisha na mageuzi ya kilimo cha wakulima wadogo Barani Africa ambalo yeye ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi.


Vile vile Rais Mstaafu Dkt Kikwete yupo huko Msumbiji kwa  shughuli za jopo la wazee wa SADC (SADC Panel of Elders)  linalojishughulisha na kusuluhisha  migogoro na kuleta amani kwa nchi wanachama wa SADC ambapo yeye ni Mwenyekiti wake.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI