Header Ads Widget

SPIKA WA BUNGE AFARIKI DUNIA RAIS ATANGAZA



 Rais wa Uganda Yoweri Museven ametangaza kifo Cha Spika wa bunge la Uganda Jacob Oulanyah Kilichotokea Leo jumapili Machi 20/2022.

Rais Museve alisema Spika huyo alikuwa kada mzuri na amechelewa kutoa taarifa Kwa familia yake kwanza .


Kilichosababisha kifo chake Spika huyo bado kubainishwa ila alikuwa amelazwa Katika Hospitali nchini Marekani na alizua mjadala mzito Kwa wananchi Kwa kuwa alikuwa amegharimi pesa nyingi za walipa Kodi kumtibu .

Oulanyah alichaguliwa kuwa Spika mwaka 2021 mei na kabla ya hapo alikuwa Naibu Spika 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI