Header Ads Widget

WASAFIRI MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI WAKWAMA KITONGA HADI USIKU HUU

 


Wasafiri wa mikoa ya nyanda za juu kusini na wale wanaoelekea Mkoani Morogoro na Dar es salaam wamekwama toka majira ya Saa 6 mchana Hadi usiku huu Saa 3  Katika mlima Kitonga mkoani Iringa kufuatia ajali ya Lori na Hiace ya wafanyakazi wa Azam media waliokuwa wakielekea Mbeya kurusha mechi za NBC 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI