Header Ads Widget

BREAKING:JESHI BURKINA FASO LAIPINDUA SERIKALI

 


Jeshi  nchini Burkina Faso limeipundua Serikali ya Nchi hiyo na kumtoa madarakani Rais Roch Kabore,kupitia televishen ya jeshi limetangaza kuchukua madaraka ikiwa ni pamoja na kulivunja bunge,kuisimamisha katiba ya Nchi na kufunga mipaka yaBurkina Faso


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI