Header Ads Widget

WANANCHI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOPATIKANA KATIKA MGODI MPYA WA SOTTA MINING

 



Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Sengerema Khamis Tabasamu amewaomba wananchi wake kuendelea kumuunga mkono Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na kutoa fedha nyingi za kutekeleza miradi mbalimbali jimboni humo ikiwemo maji,afya barabara,elimu n.k.



Aidha amewataka wananchi  kuchangamkia fursa zitakazopatika katika mgodi mpya wa Sotta Mining ambao unatarajiwa kuanza kufanya uzalishaji baada ya miezi 18,kauli hiyo ameitoa katika mkutano wa hadhara uliohudhukiwa na wakazi wa kata sita wa kueleza utekelezaji wa ubunge wake kwa kipindi cha 2021.



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI