Header Ads Widget

KURUNZI YA DOMO ZEGE


Tuko katika dunia iliyobadirika sana. Dunia ambayo wanyama wamekuwa na utu kuliko wanadamu! Dunia ambayo imejaa unafiki, dharau, kutokuheshimiana, fitina na Roho mbaya! Dunia ambayo mwanaume wa miaka 40 kumbaka mtoto wa miaka mi 3 anaona Jambo la kawaida!_

_Imekuwa Dunia ambayo kuiishi kunahitaji kudra za Mwenyezi Mungu._

MUNGU ATUSAIDIE

Omwami December 02, 2021

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI