Tuko katika dunia iliyobadirika sana. Dunia ambayo wanyama wamekuwa na utu kuliko wanadamu! Dunia ambayo imejaa unafiki, dharau, kutokuheshimiana, fitina na Roho mbaya! Dunia ambayo mwanaume wa miaka 40 kumbaka mtoto wa miaka mi 3 anaona Jambo la kawaida!_
_Imekuwa Dunia ambayo kuiishi kunahitaji kudra za Mwenyezi Mungu._
MUNGU ATUSAIDIE
Omwami December 02, 2021
0 Comments