Wakili wa kujitegemea mkoani Iringa Geofrey Mwakasege kushoto ambae amefungua mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa akiwa mahakamani leo,wakili Mwakasege amefungua kesi ya kikatiba namba 23/2021 kupinga mawakili binafsi kuzuiwa kujitangaza kama wafanyabiashara wengine Kulia ni wakili wake Franklin Chonjo ambae anamsaidia wakili Chance Luoga Baadhi ya mawakili wa kujitegemea mkoa wa Iringa wakiwa mahakamani
0 Comments