Tumaini Nyamhokya Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ametetea nafasi yake baada ya kuwabwaga wagombea wengine toka Vyama shitiki Katika Uchaguzi uliofanyika .
Katika Uchaguzi huo uliofanyika ktk Ukumbi wa mikutano wa JAKAYA KIKWETE jijini Dodoma,Bwana Nyamhokya aliwaacha mbali washindani wenzie kwa kujizolea kura 280 dhidi ya kura 440 zilizopigwa,Hivyo kutangazwa rasmi kuwa Ndie Rais wa Wafanyakazi Nchini.
Awali ktk ufunguzi wa mkutano huo wa uchaguzi uliofunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bwana Anthony Mtaka kwa niaba ya Rais wa Jamburi ya Muungano wa Tanzania Sania Suluhu
Matokeo ya Uchaguzi TUCTA 2021
1:Rais
Tumain NYAMHOKYA(TALGWU)
2:Makamu Rais
Shaban Ambindwile Mwabungulu (CWT)
3:Katibu Mkuu
Henry Mkunda (TUGHE)
4:Naibu Katibu Mkuu
Cornel Magembe(CWT)
5:Mweka Hazina
CPA James Kalanje (RAAWU)
6:Wadhamini
Tumain Kalinga (CWT)
Menson Savilantungu(CWT)
.Noel Nchimbi(TUICO)
Neema.A.Mwamwaja (TALGWU)





0 Comments