Header Ads Widget

TFF YAKUTANA NA VILABU VINAVYOSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA



Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limekutana na klabu za soka zinazoshiriki mashindano ya kimataifa ili kujadili na kufanyia kazi kasoro zilizojitokeza katika michezo ya awali.


Aidha, TFF imevitaka vilabu kuheshimu taratibu, kanuni na maelekezo ya CAF

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI