Header Ads Widget

TAJIRI WA DUNIA ELON MUSM AVUNJA REKODI HII

 




Tajiri wa dunia Elon Musk ameivunja rekodi ya kuwa Mtu wa kwanza Duniani kuvuka utajiri wa $ Bil. 300, ni baada ya utajiri wake kuongezeka kwa $ Bil. 10 baada ya hisa za Tesla kupanda, sasa anamzidi Tajiri namba mbili Jeff Bezos kwa zaidi ya $ Bilioni 100.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI