Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango asubuhi ya Leo Oct 12 amesafiri na Treni ya Tazara kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea Mkoani Morogoro Kwenye ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa la Julius Nyerere Katika mto Rufiji
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dkt. Adam Fimbo, atoa pongezi kwa wajumbe wa Baraza la Sita l…
0 Comments