Header Ads Widget

MAKAMU WA RAIS DKT MIPANGO AFANYA ZIARA KWA USAFIRI WA TRENI

 




Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango  asubuhi ya Leo Oct 12 amesafiri na Treni  ya Tazara kutoka jijini Dar es Salaam  kuelekea Mkoani Morogoro Kwenye ziara ya kutembelea  mradi wa ujenzi wa Bwawa la Julius Nyerere  Katika mto Rufiji 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



BBC NEWS