ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami Kijiji cha Igoda,Luhunga na Sawala wilayani Mufindi mkoa wa Iringa ukiendelea ni lami ya kwanza toka nchi ipate uhuru ,wananchi wapongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwa lami hiyo itasaidia kuongeza thamani ya mazao yao
0 Comments