Header Ads Widget

DKT TUMAINI MSOWOYA AREJESHA FOMU VITI MAALUM IRINGA.

 

Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Dk Tumaini Msowoya, leo Julai 2, 2025, amerejesha rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Mkoa wa Iringa.

Dk Msowoya amerejesha fomu hiyo katika Ofisi za Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Iringa, ambapo alipokelewa na Katibu wa UWT wa mkoa huo, Mary Mwansengo.




Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI