Header Ads Widget

MRADI YA ZAIDI YA BILIONI 11 KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU KILWA

 

Na Hadija Omary Matukio Daima Media

Mwenge wa Uhuru ukiwa unaenda na mbio zake Mkoani Lindi Leo utakimbizwa Wilayani Kilwa ukitokea Wilayani Liwale ambapo utaona, utazindua na kuweka Mawe ya Msingi Katika miradi 13 ya Maendeleo yenyethani ya zaidi ya shilingi Bilioni 11

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mohamed Nyundo akizungumza wakati wa mapokezi ya mwenge huo yaliyofanyika Katika kijiji cha zinga kikaoni amesema mwenge wa huru ukiwa Wilayani humo utakimbizwa umbali wa kilometa 173

Hata hivyo nyundo alisema kuwa Kati ya miradi hiyo 13 itakayopitiwa na mwenge wa huru miradi 10 itaonwa, miwili itawekwa Mawe ya Msingi na Mmoja utazindua

kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru mwaka 2025 Ismail ally usi amesisitiza kuwepo na taarifa sahihi Katika miradi husika vifaa kuhakiki miradi inapoitajika  pamoja na wataalamu 


Hata hivyo aliwataka wananchi kuhusianisha mwenge wa Uhuru na itikadi za kisiasa na kwamba dhamira ya mwenge huo toka ulipo asisiwa  ulikusudia kuchochea Maendeleo, Amani na upendo huku ukijikita kuondoa chuki na dharau 


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI