Msajili Mstaafu wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa amefariki dunia jijini Dar es Salaam.msiba wa Tendwa aliyekuwa msajili wa vyama vya siasa kuanzia mwaka 2001 na kuachia madaraka hayo Agosti mwaka 2013 upo eneo la Kibamba Hospitali wilaya ya Ubungo, Dar es
0 Comments