Header Ads Widget

AJALI YAUA SABA NA KUJERUHI WENGINE MKOANI MOROGORO..



 

Na Ashton Balaigwa,Morogoro 

Watu Sita wamefariki Dunia  na wengine watatu kujeruhiwa kati yao wawili  kulazwa katika Hosptali ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro  na mwingine katika Kituo cha Afya Dakawa baada ya gari dogo la abiria aina ya Noah waliokuwa wakisafiria kutoka Mji wa Dumila  wilayani Kilosa kuelekea Morogoro mjini kugongana uso kwa uso na Lori lililokuwa kwenye masafa marefu kutokea Morogoro kwenda Dodoma.

Kamanda wa Polisi mkoa huo, Alex Mkama amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyotolea  Mei 14, 2024 majira ya saa mbili asubuhi  eneo la Dakawa ,wilayani Mvomero  kwenye barabara kuu ya Dodoma- Morogoro.

Matukio Daima media tunatoa pole kwa wafiwa na kuwaombea Majeruhi wa ajali Afya njema


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI