Header Ads Widget

RC SENYAMULE ASHIRIKI MAZISHI YA MTOTO WA MALECELA


Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule pamoja na viongozi wa mbalimbali wa Serikali ameshiriki katika mazishi ya mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Samwel Malecela, marehemu William Malecela aliyefariki dunia Mei 14, 2023, na kuzikwa leo Mei 17, 2023 katika eneo la Mvumi, Dodoma.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI