Header Ads Widget

CHANZO CHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA YA WENYE ULEMAVU YATAJWA

 


Imeelezwa kuwa  kundi la watu wenye ulemavu   ,mazingira  wanayoishi yamekuwa yakiharibiwa na wao kuwa  waathirika wakubwa  hivyo  mradi wa youth project la shirika la word vision  wameweka kipaumbele katika  makundi hayo ili kiwatengenezea mazingira mazuri ambayo yatawafanya waishi Kama wengine.

Hayo yamesemwa Deogratius martin. meneja wa mradi wa yuouth project kutoka katika shirika la word vision Tanzania wakati alipokuwa katika mashindano ya westi Kili Forest challenge yaliyofanyika wilayani siha Kilimanjaro.


"sisi kama Shirika tumeamua pia kujikita katika maswala ya  vijana katika hivyo basi tunafanya shughili za  utunzaji  wa mazingira, kwa kuanzisha bustani za upandaji miti ,na miradi ya ufugaji nyuki kwa lengo zima  la kufanya wao kuwa sehemu ya Jamii ya watanzania"Alisema degratiu.


 Amesema kuwa Kama shirika wamekuwa Ni sehemu ya mafanikio kwa jamii na wameshiriki katika mashindano hayo  Kama vijana kuonesha kuwa wanahamasisha utunzaji wa mazingira na kuwasidia watu kwenye suala zima la utalii wa ndani .


Aidha ameendelea kusema  Kama mradi wa word vision wanaendelea kuwaeleza wadau kuwa Nchi ya Tanzania imejaliwa rasilimali nyingi ,kwani kuna mbuga za wanyama ,misitu ya asili na ya kukatwa tuendelee kuhamasisha utalii wa ndani kwani tukifanikiwa hivyo itakuwa Ni jambo jema

Hata hivyo amehitimisha kwa kusema kuwa mabadiliko  ya Tabia ya Hali ya Nchi hayamgusi Mtu baki kwa  sababu ya  mazingira yanapoharibika  yanapoharibika  yanawaathiri  watu wote pamoja na kuathiri  hali ya hewa .

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI