Header Ads Widget

KAMATI YA PEMBEJEO LINDI ZAFUNDWA.



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi Hashim Komba amewataka Kamati ya Pembejeo za kila wilaya na Vijiji kuhakikisha Pembejeo ambazo zimeletwa na Rais Samia Suluhu Hassan zinawafikia wakulima wote  na bule bila Malipo yoyote.



Akizungumza Leo katika kikao Cha maandalizi ya Ununuzi wa ufuta  Mh Komba amesema kwa mwaka huu   katika Mkoa wa  Lindi maghara  yote yatafunguliwa Tarehe 28/5/2022 na kuwaomba wakulima kupeleka mazao yao  magharani .



" Kila mkulima kuhakikisha analinda Ubora wa ufuta wetu kwa kuufanyia Usafi ufuta wako kabla ya kufika gharani na  niwaombe wakulima wangu  kulinda Soko Letu  ili wanunuzi wapate kununua mazao yetu yaliyosafi na yenye Ubora"Mh Komba

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI