MKUU wa mkoa wa Iringa Queen Sendiga ametoa onyo Kwa makandarasi waliopata kazi za ujenzi wa miradi ya barabara kuharakisha ujenzi wa miradi hiyo .
Akizungumza Leo na Matukio Daima Tv Ofisini kwake Sendiga amesema tayari amekwisha fanya ziara ya kukagua miradi yote ya barabara Katika wilaya ya Mufindi na anaendelea wilaya nyingine zote .
Hata hivyo Mkuu huyo wa mkoa ametoa onyo Kwa wananchi wanaoharibu miundo mbinu ya barabara kuacha Mara moja tabia hiyo .
Sendiga amepongeza Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Samia Suluhu Hassan Kwa kuendelea kutoa fedha za miradi mbali mbali .TAZAMA VIDEO YA RC IRINGA QUEEN SENDIGA HAPA
0 Comments