Gari la alilokuwa akitumia Prof Ngowi na dereva wake kabla ya kifo chao
Makamu Mkuu wa Chuo cha Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Prof. Honest Ngowi na Dereva wake, waliofariki asubuhi ya leo kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuja Kampasi Kuu Morogoro
Prof Ngowi wa Mzumbe na dereva wake wamefariki kwa ajali leo asubuhi. wameangukiwa na container la semi trailer Mlandizi akiwa anaenda Morogoto kwenye kikao .
Tunaomba muwe watulivu wakati Menejiementi inaendelea kufuatilia taarifa kamili ya tukio hili, na kuweka taratibu zingine. Taarifa zaidi zitatolewa rasmi na taratibu zingine za kuwahifadhi wenzetu. Bwana alitoa na Bwana Ametwaa jina la Bwana lihimidiwe. Poleni Wote kwa msiba huu mzito.
Kontena lililosababisha ajali ya Prof NgowiImetokewa na,
Ofisi ya Mawasiliano
0 Comments