Header Ads Widget

SIJAFA AJALI YA IRINGA -DEREVA WA GARI LA MAGAZETI

 



Mmoja wa madereva wa gari la magazeti lililopata ajali na kuua watu 10 mkoani Iringa Abdul Ally Lyiu  kakanusha taarifa za kifo chake kuwa yupo hai na kuwa wakati wa ajali ikitokea hakuwepo ila alisahau leseni yake Katika  gari hilo na ndio sababu ya kutajwa Katika  orodha ya waliokufa 



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI