Header Ads Widget

RAIS WA Z'BAR DK.MWINYI AMEFUNGUA MASJID TAWBA KISAUNI WILAYA YA MAGHARIBI B UNGUJA

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango wa Masjid Tawba Kisauni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja baada ya kukata utepe kuufungua rasmi leo 8-10-2021, na kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid hiyo

RAIS wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akisalimiana na kuagana na Mufti Mkuu wa Zanzibar.Sheikh. Saleh Omar Kabi na Naibu Mufti wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, baada ya kumalizia hafla ya ufunguzi wa Masjid Tawba Kisauni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na  Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid hiyo leo 8-10-2021

 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI