Header Ads Widget

NYUMBA YA MCHEZAJI HUYU SIMBA SC KUUZWA NA DALALI

 


Kampuni ya udalali ya Greenlight kwa idhini ya Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya Kinondoni kituo cha Ukonga,22 Oktoba 2021, itaiuza nyumba ya mchezaji wa zamani wa Simba Sc , Emmanuel Gabriel Mwakyusa iliyopo Kitunda  baada ya Anna Abeid Salum kushinda madai namba 91/2018.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI