Header Ads Widget

DEREVA BAJAJI JELA MIAKA 30 KWA KUMPA MIMBA MWANAFUNZI

Mahakama ya mkoa wa Mbeya imemhukumu mkazi wa Veta Mbeya ambae ni dereva bajaji kifungo cha miaka 30 jela Deus Peter (25) baada ya kukiri kosa la kumpa mimba na kumkatisha masomo mwanafunzi wa kidato cha nne mwenye miaka 16.

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI