Header Ads Widget

BREAKING:CCM YABWAGWA VIBAYA UBUNGE JIMBO LA KONDE,ACT WAZALENDO WAIBUKA KIDEDEA


Chama cha ACT wazalendo kimefanikiwa kukigalagaza chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Konde baada ya kupata kura 2491.

Msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo Abdallah Said Ahmed amemtangaza Mohamed  Said Issa wa ACT wazalendo  kuwa mshindi .

Huku mgombea wa CCM Mbarouk Amour Habibakipata jura 794 kati ya kura 3,338,ilizopigwa .



Mgombea wa CUF Salima Khamis Omar akipata kura 98 na Hamad Khamis Omar wa AAFP akipata kura 55

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI