Header Ads Widget

CHUMI NA WENGINE WANNE WAPITA MCHUJO WA UBUNGE CCM MAFINGA MJINI

 


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mbunge wa sasa wa Jimbo la Mafinga Mjini, Cosato Chumi kuendelea kudhihirisha uimara wake kisiasa baada ya kupitishwa tena katika mchujo wa kuwania nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025.

Taarifa hiyo imetolewa na Katibu wa NEC anayeshughulika na Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla wakati  akitangaza majina ya wagombea waliopitishwa leo Julai 29, 2025 jijini Dodoma.

Wagombea wengine waliopita mchujo wa CCM katika Jimbo la Mafinga Mjini ni Dickson Lutevele, Agrey Tonga, Medadi Kigola na Dkt. Brazili Tweve.


Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI