Na Shomari Binda Matukio Daima Media -Musoma
MUSOMA Vijijini inatarajia kufungua shule 2 za kidato cha 5 na 6 zitakazofundisha masomo ya sayansi zitakazoanza rasmi julai mosi 2025 baada ya kukamilishwa taratibu zote za utoaji elimu.
Shule hizo ni Suguti High School itakayoanza na wanafunzi 158 pamoja na Mugango High School itakayoanza na wanafunzi
62 ambao tayari wamesha sajiliwa.
Taarifa iliyotolewa juni 8,2025 na ofisi ya mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo imesema mbunge wa jimbo hilo atazitembelea shule hizo na kuzungumza na wanafunzi hao.
Licha ya kuzungumza na wanafunzi atawagawia vitabu vya masomo ya sayansi ili kuanza muula wa masomo wakiwa hawana changamoto ya vitabu.
Baadhi ya wadau wa elimu waliopokea taarifa hiyo wakiwemo wananchi wa jimbo la Musoma Vijijini wamemshukuru mbunge huyo kwa jitihada zake za kuinua elimu.
Wakizungumza na Matukio Daima wamesema mbunge huyo ni mfano wa kuigwa katika kufatilia na kuhimiza masuala ya elimu.
Juma Mhina mkazi wa Kata ya Mugango amesema juhudi za mbunge huyo kwenye elimu zinaonekana kuanzia elimu ya awali,msingi hadi sekondari.
Amesema wananchi wanapaswa kumuunga mkono kutokana na juhudi hizo kubwa anazozifanya kwenye sekta hiyo.
" Tumeona taarifa kutoka ofisi ya mbunge juu ya kuanza masomo ya kidato cha 5 na 6 kwa kweli tunamshukuru kwa jitihada hizo.
" Kwa hili hatupepesi macho tunamuomba agombee tena kwenye uchaguzi wa 2025 na tunaahidi kumchagua ili aendelee kutuletea maendeleo yakiwemo ya elimu kwa watoto wetu",amesema.
Sekondari nyingine zinazokaribia kukidhi vigezo vya uwepo wa High Schools za sayansi ni Mtiro Secondari iliyopo Kata ya Bukumi,Makojo Sekondari, Kata ya Makojo iliyopo Kata ya Bugwema Sekondari, Kata ya Bugwema,Kiriba Sekondari, Kata ya Kiriba
Nyakatende Sekondari, Kata ya Nyakatende na Etaro Sekondari iliyopo Kata ya Etaro
Vigezo muhimu kwa shule hizo ni pamoja na kuwa na maabara 3 za masomo ya sayansi,Bweni,Bwalo la chakula,Maji ya bomba pamoja na Umeme
Sekondari mpya zote zilizopata uwekezaji mkubwa kutoka serikalini kwenye jimbo la Musoma Vijijini zina maabara tatu za masomo ya sayansi ambazo ni Kabegi (Kata ya Ifulifu), Kurwaki (Kata ya Mugango), Wanyere (Kata ya Suguti), Kasoma (Kata ya Nyamrandirira), na Butata (Kata ya Bukima)
Mbunge wa jimbo hilo Profesa Sospeter Muhongo ameendelee kuwaomba wananchi kuchangia kuongeza High Schools za Masomo ya Sayansi jimboni humo.
MWISHO
SIMULIZI CHINI 👇👇
"Hizi fedha nyingi ambazo nimekuwa nazipata naweka benki"
Wanasema katika maisha kama hujabahatika kwenda shule na kupata elimu usichague kazi, kwani mchagua jembe si mkulima. Walisema waswahili. Usemi huo umekuwa ukiishi katika maisha yangu miaka yote.
Naitwa Baro, kijana wa miaka 23, sikufanikiwa hata kumaliza elimu ya msingi kwani niliishia darasa la nne, hiyo ni baada ya wazazi wangu kutengana hivyo nikaenda kuishi na bibi yangu na huko maisha yalikuwa magumu sana kiasi kwamba nikashindwa kuendelea na masomo.
Katika umri wangu mdogo nilikuwa naondoka asubuhi na bibi na kwenda kufanya kazi ya vibarua katika mashamba ya watu ambapo tulikuwa tunafanya kazi ya kuchuma kahawa.
Nilipofikisha umri wa miaka 19 niliamua kuondoka kwa bibi na kumueleza kuwa naenda mjini kutafuta maisha na nikifanikiwa nitarejea maana ndio amenitunza kwa miaka mingi kwa kujinyima ile mimi mjukuu wake nisije kufa kwa njaa.
Huko mjini nilifanya kazi mbalimbali kwa watu wengi, nilifanya kazi ya kuuza chakula kwa mgahawa kwa mwaka mmoja na nusu lakini nikaona malipo yake ni kudunchu sana na hayawezi kuniondoa katika umaskini.
Nilichukua kiasi cha fedha nilichokuwa nimekusanya na kuamua kupanga chumba pamoja na kununua vitu vya ndani kama kitanda, godoro, meza na viti vya kukalia.
Kiasi kilichobaki ndicho nikaanza nacho biashara ya kutembeza maji na juice baridi katikati ya mji, biashara ilianza vizuri lakini kadiri muda ulivyokuwa unasonga hali ilizidi kuwa mbaya.
Mtaji uliisha hadi nikaamua kuuza viti na meza ili kurejea katika biashara, mtu wangu karibu, Loli ambaye naye alikuwa anauza karanga alionekana kupata wateja sana hadi kiasi nikawa namuonea wivu.
Nilimuuliza kuhusu siri ya mafanikio yake na ndipo aliponieleza baada ya kupitia wakati mgumu katika biashara ndipo alimsaka Kiwanga Doctors ambaye naye alipewa habari zake na mtu mmoja.
Aliniambia kuwa Kiwanga Doctors anaweza kunisaidia, nilimuomba namba yake, Loli alinipatia yake, niliweza kuwasiliana naye na kumueleza shida yangu.
Alinitoa hofu na kusema ndani ya siku tatu nitaanza kupata majibu ya tatizo langu, naweza kusema ilikuwa ni kama ndoto kwa namna ambavyo biashara ilishamiri.
Nilikuwa nauza hadi usiku wa saa nne na kuamua mwenyewe kwenda kulala kutokana na uchovu wa siku, kwa jinsi biashara ilivyokuwa inatoka niliweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo ikiwemo kumjengea bibi kijijini, nimenunua bajaji zangu mbili ambazo nimekodishia vijana wafanye nazo kazi.
Kwa sasa nimeweza kupanga nyumba nzuri yenye kila kitu ndani na ninajiona mbali sana kimaisha kwa fedha ambazo nimekuwa nikiingiza kila siku ambazo kwa sasa naziweka Benki. Kwa hakika Kiwanga Doctors amenipa maisha ambayo nilikuwa nayatamani sana maishani mwangu.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio, uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +255 763 926 750 au tembelea tovuti yao, maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
0 Comments