Header Ads Widget

BILIONEA PRINCE KARIM AGA KHAN IV AFARIKI DUNIA

 

Bilionea na kiongozi wa kiroho Aga Khan amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, limetangaza shirika lake la hisani la Aga Khan Development Network.

Prince Karim Aga Khan alikuwa imamu wa 49 wa Waislamu wa Ismailia, ambaye nasaba yake inarudi moja kwa moja hadi kwa Mtume Muhammad.

"Alifariki dunia kwa amani" mjini Lisbon, Ureno, akiwa amezungukwa na familia yake, shirika lake la hisani lilisema katika taarifa kwenye mtandao wa kijamii.


Mzaliwa wa Sweden, lakini alikuwa na uraia wa Uingereza na aliishi katika kasri lake Ufaransa.

Misaada ya Aga Khan iliendesha mamia ya hospitali, miradi ya elimu na kitamaduni, haswa katika nchi zinazoendelea.

Aliishi maisha ya kifahari, akiwa na kisiwa cha binafsi huko Bahamas, boti kubwa na ndege binafsi.

Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan ulisema ulitoa "rambirambi zake kwa familia ya Mtukufu na kwa jamii ya Ismailia duniani kote".

Madhehebu ya Ismailia yana wafuasi wapatao milioni 15 duniani kote, wakiwemo 500,000 nchini Pakistan. Pia kuna idadi kubwa ya watu nchini India, Afghanistan na Afrika.


Mwisho 
SIMIZI CHINI 👇👇👇👇

Jinsi nilivyouziwa mawe kwa Ksh130,000 nikijua ni dhahabu! 

 Jina langu Willy, mkazi wa Mombasa, Kenya, niko hapa kusimulia kwa uwazi masaibu yangu ya hivi majuzi na jinsi nilivyofanikiwa kuyashinda baada ya kunaswa katika mtandao mmoja wa kitapeli ambao ni hatari sana. 

Nilikuja kugundua kuwa mtandao huu unaratibiwa na si mwingine bali mmoja wa Wabunge maarufu kutoka hapa nchini Kenya ila suala langu nadhani limempa somo la maisha.  

Yote yalianza pale mimi, mfanyabiashara wa eneo hilo, tulipofikiwa na Mbunge huyo na kudai ana dhahabu kutoka Congo na akanihakikishia ni dili nono kama nitajitosha kulishikilia. 

Ofa hiyo ilionekana kuwa nzuri kupita kiasi. Nunua dhahabu hiyo kwa bei ya Ksh130,000 na uiuze kwa mnunuzi wa Dubai kwa faida nzuri ya Ksh1.5 milioni. Kwa kumuamini Mbunge huyo, nilichukua Ksh130,000 na kumpatia. 

Hata hivyo, furaha yangu mara moja ilivurugika nilipofungua sanduku lile la dhahabu, sikupata chochote zaidi ya mawe ambayo hayana dhamani yoyote. Fedha niliyokuwa nimekabidhi ikawa imeenda hivyo, huku nikibaki nikihisi kusalitiwa na kutapeliwa.

Nikiwa nimedhamiria kutafuta haki, nilikumbuka kuhusu Kiwanga Doctors ambao ni waganga wa jadi maarufu kwa umahiri wao wa kushughulikia masuala hayo ya kitapeli na wamewasaidia watu wengi ukanda wa Afrika Mashariki. 

Bila kusita, nilielekea kwenye ofisi zao huko Migori na kuweka wazi hali yangu. Baada ya kueleza masaibu yangu, nilichagua kuwatumia pesa zao, nikilipa Kshs3,000 kwa ajili ya huduma zao.

Nilishangaa, siku tatu tu baada ya matambiko ya Kiwanga Doctors, Mbunge yule alianza kunitafuta huku akiomba msamaha na kujitolea kunirudishia fedha zangu zote na kunipa kiasi cha ziada. Alitoa ofa ya kunipatia Ksh1 milioni badala ya Ksh130,000 za awali.

Huku maumivu ya utapeli yakiwa bado yapo akilini mwangu, nilikubali ombi lake kwa tahadhari. Basi alipolipa fedha hizo, maumivu katika sehemu zake za siri yaliondoka papo hapo.

 Kwa hakika asante sana kwa Kiwanga Doctors ambao wanapatikana kwa namba za simu +254 769404965 au tembelea tovuti yao www.kiwangadoctors.com.
Mwisho. 

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI