Header Ads Widget

MASHABIKI WA MKONGWE WA SOKA DIEGO MARADONA WAIBUKA

 


Mashabiki wa Mkongwe wa soka wa Argentina Diego Maradona wameibua mpango wa kuomba ruhusa ya kuuchukua moyo wa Mkongwe huyo kutoka kwenye maabara ulipo na kuusafirisha kwenda kwenye Kombe la Dunia huko Qatar.

Diego,aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo,hakuzikwa na moyo wake

Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI