RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwakilishi wa UNICEF anayefanyia kazi zake Ofisi ya Zanzibar Bi.Laxmi Bhawani, baada ya kumkabidhi Jarida la UNICEF linalozungumzia Maliza Ukatili na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Jarida la UNICEF likiwa na ujumbe wa ‘Maliza Ukatili na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto Zanzibar’ na Mwakilishi wa UNICEF wa Ofisi ya Zanzibar Bi. Laxmi Bhawani,
0 Comments