Header Ads Widget

WIZARA YA HABARI, MAWASILIANO NA TEKNOLOGIA NDANI YA SHIMWI MOROGORO

 


Timu ya mchezo wa kamba wanaume kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakiwa kwenye mechi na timu ya wanaume kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) leo Oktoba 22, 2021 wakati wa Mashindano ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea mjini Morogoro.

Timu ya mchezo wa kamba wanaume kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakiomba duwa tayari kuikabili timu ya wanaume kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) leo Oktoba 22, 2021 wakati wa Mashindano ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea mjini Morogoro.





Timu ya mchezo wa kamba wanaume kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakiwa wanajianda kuikabili timu ya wanaume kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) leo Oktoba 22, 2021 wakati wa Mashindano ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea mjini Morogoro.



Post a Comment

0 Comments



MAGAZETI



NAMBA ZA HUDUMA YA USAFIRI WA KUKODI